Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatano, 21 Januari 2015

RONALD;SITOJIUNGA NA MAN U WALA CHELSEA


Mchezaji wa Real Madrid Ronaldo asema hatojiunga na Chelsea wala Man United
Mchezaji bora duniani kutoka kilabu ya Real Madrid Christiano Ronaldo amewavunja moyo mashabiki wa kilabu ya Manchester United na Chelsea baada ya kusema kuwa anapania kwenda Brazil kusakata kabumbu baada ya kutoka Real Madrid kulingana na gazeti la Metro.
Mchezaji huyo ambaye anatabiriwa na wengi kurudi katika kilabu ya Manchester United baada ya kumaliza mkataba wake na Real Madrid amesema huenda akaichezea kilabu ya Corinthians ama hata Flamengo nchini Brazil atakapoondoka Real Madrid.
''Corinthians na Flamengo ni vilabu maarufu ambavyo huenda nikachezea moja wapo.nchini Brazil nina marafiki wengi kwa hivyo uhusiano wangu na taifa hilo ni mzuri sana.''alisema Ronaldo.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni