Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatano, 21 Januari 2015

E GUNIE YATOKA SARE NA BURKINA FASO


Equitorial Guinea 
Burkina Fasso wamepiga chuma cha goli mara mbili na hivyobasi kuzuiwa na Equitorial Guinea katika sare ya kwanza ya 0-0 katika michuano ya mataifa ya Afrika.
Alain Traore aliupinda mkwaju wake dhidi ya chuma cha goli kunako dakika ya 19 na 20 kabla ya mkwaju wake kupigwa nje na mlinda lango wa Equitorial Guinea Didier Ovono.
Wachezaji wa Burkinabe pia karibia wafunge baada ya kipindi cha kwanza wakati Jonathan Pitroipa aliposhindwa kufunga krosi .
Mchezaji wa Equitorial Guinea Doualla alikosa bao la wazi alipopiga juu akiwa katika eneo la hatari.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni