Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Ijumaa, 16 Januari 2015

WAGENI KUPIMWA EBOLA KOMBE LA AFRIKA


Chama cha soka cha Africa (CAf) kimetangaza kufanyika kwa vipimo vya ugonjwa wa ebola katika michuno ya kombe la Mataifa ya afrika.
Wachezaji viongozi na washabiki wote watakaowasili katika nchi ya Guinea ya Ikweta watafanyiwa uchunguzi ya ugonjwa huo.
Kulingana na taarifa za Caf timu ya kwanza kuwasili nchi humo, Cape Verde walifanyiwa uchunguzi wa afya na itaendelea kufanyika kwa wageni wote wataowasili.
Guinea ya Ikweta imekuwa mwenyeji wa michuano hiyo baada ya Morocco waliokuwa wenyeji kujitoa kwa sababu za maambukizi ya ugonjwa wa Ebola.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni