Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Alhamisi, 22 Januari 2015

AOMBA UCHAGUZIUCHELEWESHWE NIGERIA


Kampeni za uchaguzi nchini Nigeria 
Mshauri wa masuala ya usalama nchini Nigeria amesema kuwa ameiambia tume ya uchaguzi nchini humo kuchelewesha uchaguzi wa mwezi ujao ili wapate muda wa kusambaza kadi za kupigia kura.
Akiongea mjini London Sambo Dasukime alisema kuwa kadi milioni 30 bado zinasalia kusambazwa kote nchini Nigeria
Amesema kuwa ni kadi milioni 39 ambazo zilisambazwa mwaka mmoja uliopita
Rais Goodlack Jonathan anawania tena urais akikabiliwa na upinzani kutoka kwa kiongozi wa zamani wa kijeshi Mohamadu Buhari.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni