Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Alhamisi, 22 Januari 2015

EBOLA;MASHABIKI WATAKIWA UWA NA SUBRA






Kolo Toure
Mlinzi wa Ivory Coast Kolo Toure amewataka mashabiki katika michuano ya mataifa ya Afrika nchini Equitorial Guinea kuwa na Subra wanapokaguliwa ugonjwa wa Ebola.
Mashabiki na maafisa wa polisi wamekuwa wakikabiliana kabla ya mechi kadhaa baada ya kucheleweshwa kutokana na upimaji wa Ebola nje ya viwanja vya soka.
''Nadhani mashabiki wanafaa kujua kwamba ni lazima wakaguliwa'' alisema mchezaji huyo wa liverpool.
 Maafisa wa afya wakiwakagua mashabiki katika michuano ya Afcon
''Ebola ipo na watu wengi huwa hawaamini wanapofika katika maeneo ambayo hayana watu walioambukiwa''.aliongezea.
Wafanyikazi wa Shirika la afya duniani WHO,ambao wanafanya ukaguzi huo wa Ebola wanakutana alhamisi ili kujadiliana kuhusu wasiwasi wa usalama wao baada ya kukabiliana na mashabiki wengine nchini humo.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni