Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Alhamisi, 22 Januari 2015

ARSENAL YAFANYA MAZUNGUMZO NA PAULISTA.


Paulista kushoto 
Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger amesema kuwa kilabu yake imeanza mazungumzo na mlinzi wa wa Villareal Gabriel Paulista.
''Mazungumzo yanaendelea vyema''alisema.
''Hatahivyo sijuia kama tutaafikia makubaliano,lakini tuna fursa ya mafanikio''.
The Gunners italazimika kumtafutia cheti za kufanyia kazi mchezaji huyo wa Brazil mwenye umri wa miaka 24.
Arsenal imemsajili Krystian Bielik kutoka kilabu ya Legia warsaw kwa kitita cha pauni 2.4 wiki hii.
Wenger alisema kuwa Bielik ambaye anaweza kucheza katika safu ya kati atatumiwa kama kiungo wa kati wa ulinzi.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni