Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Ijumaa, 16 Januari 2015

UHURU WA MITANDAO KUDHIBITIWA

Rais Barack Obama ametoa wito wa kuwekwa sheria kali za kudhibti matumizi ya mitandao huku waziri mkuu wa Uingereza David Cameroon, akitoa ombi kwa mitandao kama ile ya Facebook na Twitter pamoja na kampuni za usalama kuisaidia Uingereza kuingia katika mitandao ya washukiwa wa ugaidi.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni