Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Alhamisi, 22 Januari 2015

CAPE VERDE KUMENYANA NA CONGO DRC



Afcon
Mkufunzi wa timu ya Cape Verde Rui Aguas amebaini kwamba atafanya mabadiliko katika mechi dhidi ya Congo DRC lakini akongezea kwamba ameamua kuweka siri mbinu atakayotumia.
Huku akikiri kwamba baadhi ya wachezaji wake wana majeraha amesema hatasema ni wachezaji gani.
Naye mshambuliaji wa DRC Congo Yannick Bolassie ambaye ndiye mfungaji wa bao lililosabbisha sare ya 1-1 dhidi ya Zambia anasema wataibuka washindi.
CHANZO BBC
Amesema: Cape Verde ina wachezaji wazuri lakini tunataka kusonga mbele katika kundi hili halafu chochote chaweza kutokea''

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni