Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumamosi, 17 Januari 2015

MAREKANI YALAANI ICC KUHUSU ISRAEL


icc
Marekani imelaani hatua ya mahakama ya kimaitaifa ya uhalifu wa kivita ICC kuanzisha uchunguzi kuhusu uwezekano wa kuwepo kwa uhalifu wa kivita kwenye utawala wa Palestina.
Msemaji wa wizara ya ndani nchini Marekani anasema kuwa ni jambo lisiloaminika kuwa Israeli ambayo imekuwa ikishambuliwa kwa makombora yanayofyatuliwa katika ardhi yake kuwa sasa ndiyo inayochunguzwa na ICC.
Mapema Isreal iliitaja hatua hiyo kama yenye lengo la kuizuia isijilinde kutokana na vitendo vya kigaidi.
Uchunguzi huo ambao ICC inasema utakuwa huru utatumiwa kuamua iwapo kutafanyika uchunguzi ulio kamili.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni