Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Alhamisi, 29 Januari 2015

WANAWAKE WAKERWA NA MAUJI MISRI


MAANDAMANO MISRI
Zaidi ya wanawake 100 wa Misri wameandamana mjini Cairo, kutaka uchunguzi ufanywe dhidi ya mauaji ya mkereketwa mmoja wa haki za kibinadamu, Shaimaa Sabbagh.
Mkereketwa huyo aliuwauwa wakati wa maadhimisho ya maandamano ya mapinduzi ya kiraia Nchini humo mnamo mwa 2011.
Wanawalaumu walinda usalama kwa kumpiga risasi mkereketwa huyo aliyekuwa na umri wa miaka 32 na ambaye hakuwa amejihami.
Mkereketwa huyo aliuuwawa mwishoni mwa juma lililopita.
Picha ya Shaimaa Sabbagh akifariki iliibua hasira kubwa nje na ndani ya Misri.
Kifo chake pia kiliibua ukosoaji mkubwa dhidi ya polisi na wakuu wa gazeti la serikali la, Al Ahram.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni