Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumapili, 25 Januari 2015

KAMANDA WA LRA KUPANDISHWA KIZIMBANI ICC




Dominic Ogwen 
Kamanda wa ngazi ya juu wa kundi la waasi la Lord resistance Army,Dominic Ong'wen atafikishwa katika mahakama ya kimataifa ya ICC mjini the hague nchini uholanzi. atakabiliwa na mashtaka ya uhalifu wa kivita.
Ong'wen ni kiongozi wa juu wakwanza kutoka katika kundi la waasi la Uganda, LRA kufikishwa mahakamani baada ya miongo miwili ya mapigano dhidi ya Serikali ya Uganda.
Mahakama ya ICC imesifu hatua hii ikisema kuwa ni hatua yenye kuelekea kumaliza visa vya kigaidi vinavyotekelezwa na LRA
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni