Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumanne, 20 Januari 2015

MICHUANO YA KOMBE LA CAPITAL ONE.



Raheem Sterling 
Raheem Sterling aliihakikishia Liverpool kucheza nusu fainali za kombe la Capital One huku Chelsea ikibakia vizuri baada ya bao la penalti la Eden Hazard wa Chelsea katika dakika ya 18 kurejeshwa na Sterling katika dakika ya 59.
Chelsea ilipatiwa penalti baada ya Emre Can kumchezea vibaya Hazard.
Hata hivyo, Sterling aliipatia Liverpool bao ililostahili katika mchezo wa kwanza uwanja wake wa nyumbani wa Anfield.
Timu hizo zinarudiana Jumanne, tarehe 27 Januari, 2015.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni