Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Ijumaa, 16 Januari 2015

HEATHER WATSON ATINGA FAINALI


Furaha ya ushindi ya Heather Watson
Mcheza tenesi Heather Watson amefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya michezo kimataifa ya Hobart.
Watson amemshinda mpinzani wake Alison Riske kwa kuchapa kwa jumla ya seti 6-3 na 7-5.
kwa ushindi huu nyota huyu wa tenesi anasubiri kucheza fainali na mshindi kati ya Madison Brengle na Mjapani Kurumi Nara.
"Nina furaha hatimae nimefika hapa siku ya leo, ulikua ni mchezo mgumu," alieleza Watson
Baada ya mchezo wa fainali siku ya jumamosi mcheza tenesi huyo ataelekea nchini Australian kwenye michuano ya wazi ya Melbourne.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni