Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumapili, 11 Januari 2015

MAHMOUD ABBAS,NETANYAU WAANDAMANA


Waandamanaji Ufaransa
Mfalme wa Jordan na Rais wa Palestinian Mahmoud Abbas ni baadhi ya viongozi kutoka Mashariki ya kati walioshiriki katika maandamo yaliyofanyika mjini Paris Ufaransa kulaani shambulio la kigaidi lililofanyika.
Morocco haijawasilisha uwakilishi wa salam za rambi rambi kutokana na msimamo wake tofauti na mwenendo wa Gazeti la Charlie Hebdo kutokana na vibonzo ambavyo vimekuwa vikichorwa hasa vile vinavyolenga masuala ya kidini.
Rais Hollande aliungana pia na Waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu,katika Sinagogi la Grand kuomboleza kwaajili ya waathirika wane wa shambulizi la kigaidi katika Supermarket . Netanyahu alimshukuru mmiliki wa Supermarket iliyoshambuliwa Lassana Bathily kwa jitihada zake katika kuwaokoa mateka waliokuwa ndani ya jingo hilo.
chanzo bbc

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni