Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatano, 7 Januari 2015

WHATSAPP YAVUNJA REKODI YA JUMBE


Kila siku zaidi ujumbe billioni 30 wa mtandao wa WhatsApp hutumwa kulingana na takwimu mpya zilizotolewa na afisa mkuu wa mtandao huo Jan Koum.
Pia kuna watumiaji millioni 700 wanotumia mtandao huo mara kwa mara.
Koum anasema kuwa shirika hilo linafurahia idadi kubwa ya wateja ilionao.
Lakini idadi hiyo ni kubwa mno na hivyobasi kuwa vigumu kuelewa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni