Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumapili, 4 Januari 2015

KOREA YA KASKAZINI YAIONYA MAREKANI


Rais Obama wa marekani na rais kim jon un wa korea kazkazini 
Korea kazkazini imeonya kuwa vikwazo vipya vilivyowekwa na Marekani dhidi yake ni kitendo cha uadui ambacho hakitafanikiwa.
Msemaji wa wizara ya mambo ya kigeni amenukuliwa na vyombo vya habari vya serikali akisema kuwa vikwazo hivyo vitaifanya korea kaskazini kuwa mbaya zaidi ili kulinda uhuru wake.
Rais Obama aliiwekea korea kaskazini vikwazo siku ya Ijumaa akiishutumu kwa kundesha uhalifu wa mtandao dhidi ya kampuni ya Sony Pictures ilipokuwa ikijiandaa kuonyesha filamu ya dhihaka ya kuuawa wa kiongozi wa korea kaskazini Kim Jong-un.
chanzo bbc

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni