Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumanne, 6 Januari 2015

MUASI DOMINIC ONGWEN AJISALIMISHA


Kiongozi wa waasi wa Uganda LRA,Joseph Konyi
Dominic Ongwen, mmoja kati ya makamanda aliyekuwa na cheo kikubwa katika jeshi la waasi wa Uganda Lord Resistance Army (LRA) ambaye pia alikuwa mtu wa karibu sana na Joseph Kony, inataarifiwa amejisalimisha kwa kikosi cha jeshi la Marekani kilichoko Africa ya kati ,na hii ni kwa muujibu wa msemaji wa kikosi cha Marekani nchini humo.
Dominic alitekwa nyara na LRA alipokuwa na umri wa miaka 10, na alikuwa akipanda vyeo katika jeshi hilo la waasi na amekuwa akisakwa na mahakama ya uhalifu wa kivita kwa makosa kadhaa yakiwemo ya mauaji ,uporaji,pamoja na utumikishaji.
chanzo bb.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni