Kiongozi wa waasi wa Uganda LRA,Joseph Konyi
Dominic Ongwen, mmoja kati ya
makamanda aliyekuwa na cheo kikubwa katika jeshi la waasi wa Uganda Lord
Resistance Army (LRA) ambaye pia alikuwa mtu wa karibu sana na Joseph
Kony, inataarifiwa amejisalimisha kwa kikosi cha jeshi la Marekani
kilichoko Africa ya kati ,na hii ni kwa muujibu wa msemaji wa kikosi cha
Marekani nchini humo.
Dominic alitekwa nyara na LRA alipokuwa na
umri wa miaka 10, na alikuwa akipanda vyeo katika jeshi hilo la waasi na
amekuwa akisakwa na mahakama ya uhalifu wa kivita kwa makosa kadhaa
yakiwemo ya mauaji ,uporaji,pamoja na utumikishaji.chanzo bb.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni