Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumapili, 11 Januari 2015

VAN GAAL AJITETEA KUHUSU FALCAO





Kocha wa Manchester United Louis Van Gaal

Kocha wa Man United Louis Van Gaal amesema uamuzi wa kumuondoa mshambuliaji Radamel Falcao kutoka kwenye kikosi chake ulikuwa wa kiufundi.
Falcao ambaye alicheza mechi tano za awali, alishuhudia timu yake ikipoteza mchezo kwa bao 1-0 walipokutana na Southampton hapo jana wakiwa Old Trafford.
Falcao anaichezea manchester kwa mkopo mpaka mwisho wa msimu akitokea Monaco lakini amefunga magoli matatu pekee tangu alipojiunga na Manchester mwezi Septemba mwaka jana

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni