Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Alhamisi, 18 Desemba 2014

BUNGE LA KENYA FUJO TUPU,WABUNGE WATWANGANA


Wabunge wa Kenya wamepigana ngumi, kun'gatana na kuoneshana ubabe zaidi bungeni kufuatia kutofautiana juu ya muswada tatanishi wa usalama
Wabunge wa upinzanzi walipinga muswada huo na kuanza kurusha karatasi sakafuni na kukatiza shughuli Bungeni humo
Mapendekezo ya muswada unaopingwa ni kwamba mshukiwa wa ugaidi anaweza kuzuiliwa kwa siku 360 kutoka siku 90 za awali huku uchunguzi ukiendelea.
Wabunge wa upinzani wanapinga muswada huo wenye utata kuhusu usalama maana wanasema unakiuka uhuru wa wakenya
Muswada huu umekuja baada ya kutokea mashambulizi yaliyofanywa na Al Shabaab wakitaka wanajeshi wa Kenya kuondoka Somalia

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni