Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumanne, 13 Januari 2015

RADMEL FALCO ATAENDA WAPI MSIMU UJAO


Radamel Falcao kuchezea moja kati ya timu bora msimu ujao
Radamel Falcao atachezea moja kati ya timu bora duniani msimu ujao,hata kama haitakuwa Manchester United, hayo ni maneno ya wakala wa Falcao, Jorge Mendes
Mchezaji huyu mwenye umri wa miaka 28 alitokea Monaco na kujiunga na Man U kwa mkopo mwezi Septemba lakini tangu wakati huo aliifungia Man U magoli matatu pekee.
United wana muda mpaka mwezi June hapo wataamua kama wataendelea naye au la.
Nini maamuzi ya Falcao mwenyewe ?
Falcao mwenyewe ameshaamua kuwa hatarejea Monaco, yaani angependa kubaki United
hata hivyo, akiwa na United Falcao hakuwemo hata kwenye kikosi cha wachezaji 18 walipokutana na Southampton tarehe 11 mwezi huu.
Lois Van gaal amesema uamuzi wake uliegemea kwenye uchaguzi wa wachezaji ambao alihisi kuwa ndio bora zaidi kwa mchezo huo.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni