Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatano, 17 Desemba 2014

BEI KUSHUKA;NIGERIA YATIKISIKA.


Mafuta yenye kukamata uchumi wa Nigeria
Waziri wa uchumi wa Nigeria, Ngozi Okonjo Iweala amewasilisha upya bajeti bungeni ili kuchukua hatua kwa kushuka bei ya mafuta kimataifa.
Nigeria ni moja ya nchi kubwa Afrika inakabiliwa na usawa wa mapato na matumizi na robo tatu ya mapato inatokana na mauzo ya mafuta.wafanyakazi wanapinga hali mbaya ya umasikini wa nchi na usafirishaji na miundombinu ya usafiri.
Wachambuzi wa uchumi wanashauri vyama vya wafanyakazi kutoigeuka serikali inayopambana kuepuka uhaba mkubwa wa mafuta kabla ya uchaguzi mwezi februari mwakani
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni