Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Ijumaa, 12 Desemba 2014

KAMPENI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA.


Maandalizi kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa nchini Tanzania yamekamilika huku kampeni za vyama na wagombea wao zikipamba moto kwenye maeneo mbalimbali.
Uchaguzi huo utakaofanyika jumapili hii unachukuliwa kama dira ya uelekeo wa uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge nchini humo utakaofanyika mwaka ujao.
Hata hivyo ushiriki wa vijana katika uchaguzi huu wa serikali za mitaa una umuhimu wake hasa ikizingatiwa vijana wana mahitaji mengi kama vile ajira,elimu,na huduma nyingine muhimu.
Takwimu zinaonyesha kwamba vijana ingawa wanakuwa msitari wa mbele katika kukosoa mambo mbalimbali, lakini ni wachache wanaojitokeza katika kupiga kura.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni