Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache
Ijumaa, 12 Desemba 2014
KAMPENI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA.
Maandalizi kwa ajili ya uchaguzi wa serikali
za mitaa nchini Tanzania yamekamilika huku kampeni za vyama na wagombea
wao zikipamba moto kwenye maeneo mbalimbali.
Uchaguzi huo
utakaofanyika jumapili hii unachukuliwa kama dira ya uelekeo wa uchaguzi
mkuu wa Rais na wabunge nchini humo utakaofanyika mwaka ujao.
Hata
hivyo ushiriki wa vijana katika uchaguzi huu wa serikali za mitaa una
umuhimu wake hasa ikizingatiwa vijana wana mahitaji mengi kama vile
ajira,elimu,na huduma nyingine muhimu.
Takwimu zinaonyesha kwamba
vijana ingawa wanakuwa msitari wa mbele katika kukosoa mambo mbalimbali,
lakini ni wachache wanaojitokeza katika kupiga kura.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni