Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumanne, 16 Desemba 2014

NITAGOMBEA URAIS MAREKANI;JEB BUSH.


Jeb Bush
Gavana wa zamani wa jimbo la Florida nchini Marekani Jeb Bush amesema anataka kujitosa katika kinyang’anyiro cha Uraia wa Marekani uchaguzi mkuu wa 2016.
Jeb mwenye umri wa miaka 61 ambaye pia ni mtoto wa rais wa zamani,lakini pia ni mdogo wa rais George W Bush.
Akizungumza kupitia mitandao ya kijamii Jeb amesema kuwa anaangalia uwezekano ili kujitosa katika mtifuano wa kusaka urais 2016.
Msemaji wake amesema kuwa maamuzi yoyote ni hapo mwaka kesho ambapo anatarajiwa kuweka peupe nia yake
Jeb Bush alikuwa Gavana wa jimbo la Florida kuaniza miaka 1999.
Baadhi ya wachunguzi wa mamabo wanasema Urais kwa Jeb inaweza kuwa ni nia njema ama ikawa mgogoro kwake.
CHANZO BBC.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni