Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatano, 18 Februari 2015

POLISI WANNE WAUAWA TUNISIA


Maafisa wa polisi nchini Tunisia
Tunisia imesema kuwa polisi wanne wameuawa kwenye shambulizi lilitokea katika mkoa wa Kasserine uliopo karibu na mpaka na Algeria.
Wizara ya ndani ilisema kuwa tukio hilo lilifanyika eneo la Boulaaba.
Shambulizi hilo lilifanyika eneo ambapo kundi lililo na uhusiano na mtandao wa Al Qaeda la (Okba Ibn Nafe'a) linaedesha harakati zake.
Tunisia imeongeza ulinzi kwenye mpaka wake na Libya kufuatia kuzorota kwa usalama eneo hilo.
chanzo  bbc.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni