Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Alhamisi, 26 Februari 2015

IKULU YA RAIS YASHAMBULIWA SOMALIA.

 
 Alshabaab
Washukiwa kadhaa na wapiganaji wa Kisomali, wamerusha makombora hadi katika ikulu ya Rais katika mji mku wa Somalia Mogadishu.
Wakuu wa usalama wanasema kuwa mlinzi mmoja ameuawa katika shambulio hilo.
Kundi la wapiganaji wa Al-Shabab limeshambulia mara kadhaa mji huo mkuu kwa mabomu, likijaribu kupindua serikali ya taifa hilo inayoungwa mkono na mataifa mbalimbali duniani.
Ijumaa iliyopita, walipuaji wa kujitolea muhanga waliwaua zaidi ya watu 20 walipolenga mkahawa maarufu mjini Mogadishu Central Hotel ulioko karibu na ikulu ya Rais.
CHANZO BBC.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni