Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatano, 25 Februari 2015

MADONNA AANGUKA KATIKA TUZO ZA BRITS.

 
 Kinara wa tuzo za Brits Ed Sheeran
Tuzo kuu nchini Uingereza za muziki, the Brits, zimetolewa London. Ed Sheeran alichaguliwa kama msanii bora mwanamume wa kipekee Uingereza. Taylor Swift, alitajwa kama msanii mwanamke wa kimataifa wa kipekee. Katika sherehe hizo.
Madonna aanguka katika sherehe hizo
 Mwanamziki Madonna akiwa ameanguka jukwaani katika tuzo za Brits
Hata hivyo muimbaji maarufu, Madonna alikumbwa na mkosi wa aina yake ambao ulimharibia siku baada ya kujikwaa katika ngazi na kuanguka mbele ya kadamnasi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni