Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatano, 18 Februari 2015

MATAIFA YA KIARABU YATAKA SULUHU LIBYA


Wapiganaji nchini Libya 
Kundi la mataifa ya nchi za magharibi limetaka kuwepo kwa hatua za dharaua kutafuta suluhu ya kisiasa katika mzozo uliopo nchini Libya ambapo makundi hasimu yanang'ang'ania madaraka.
Taarifa hiyo kutoka marekani ,Uingereza,ufaransa,Ujerumani, Italia na Uhispania inajiri baada ya Misri kuomba msaada wa jeshi la kimataifa.
Siku ya Jumapili Misri ilithibitisha kuwa wanamgambo wa Islamic state waliwakata vichwa watu 21 raia wake ambao ni wakisristo wa madhehebu ya Copti
chanzo bbc.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni