Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Ijumaa, 13 Februari 2015

JE WAJUA ANA JUATOFAUTI ZETU

 
 Mbwa rafiki
Utafiti unaonesha kwamba watu wanaopenda wanyama hasa mbwa,utafiti unaanisha kuwa binadamu hawezi kuficha hisia zake kwa mbwa ,kwani mnyama huyo anao uwezo mkubwa wa kushuku mambo na tofauti zetu kati ya furaha na taswira yenye hasira.
Wanasayansi wanaofanya utafiti katika kitengo cha Messerli Research Institute , juu ya maabara ya mbwa wenye utambuzi ,mjini Vienna huwafundisha mbwa kung’amua picha mbalimbali ikiwa picha aionayo ni ya mtu mwenye furaha ama hasira .
Katika utafiti uliofanywa mfululizo,wanasayansi walionesha mbwa taswira za watu ambazo hawakuwahi kuziona katika mafunzo yao, kumtambua mbwa kama anaweza kugundua sura na muonekano tofauti kwenye picha hizo.
Utafiti huu,ambao ulichapishwa katika jarida la masuala ya biolojia,ni sehemu ya utafiti mkubwa kujifunza namna rafiki wa mwanadamu ‘MBWA’ wanavyoweza kuchangamana.
Lengo kubwa la utafiti huo ni juu ya swali kubwa la mawasiliano yao, anasema kiongozi wa utafiti huo Profesa Ludwig Huber .Inakuwaje mbwa ajiungamanishe na mwanadamu kwa kiasi hiki? Na nini hutokea wakati wa mchakato wa ndani?
Wanasayansi wamerudia mara ishirini kuwaonesha mbwa nusu picha, ama iwe mdomo wa chini ama sehemu ya juu ya jicho la mtu mwenye furaha ama uso wenye hasira,lakini mbwa waling’amua tofauti.
CHANZO  BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni