Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatano, 18 Februari 2015

WAOMBA MWANA WA WADE AFUNGWE MIAKA 7.


Aliyekuwa rais wa Senegal Abdoulaye Wade na mwanawe Karim Wade
Waendesha mashtaka nchini Senegal katika kesi inayohusu ufisadi ya mwana wa kiume wa aliyekuwa rais wa zamani wa Senegal Abdoulaye Wade wameomba ahukumiwe kifungo cha miaka saba gerezani na faini ya dola milioni 430.
Karim Wade analaumiwa kwa kujipatia zadi ya dola milioni 200 kwa njia isiyo halali.
Bwana Wade anasema kuwa alipata utajiri akiwa mfanyi biashara barani ulaya kabla ya kurejea nyumbani ambapo alihudumu kama waziri kwenye serikali ya babake kwa miaka mitatu.
CHANZ BBC.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni