Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumanne, 24 Februari 2015

SHAMBULIO LA BOMU NIERIA ;WATU 13 WAFA.


Jeshi la Chad lilianzisha Operesheni dhidi ya Boko Haram 
Watu 13 wamepoteza maisha kwa shambulio la kujitoa muhanga mjini Potiskum, kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Mfanyakazi mmoja wa kituo cha basi cha Dan-Borno ameiambia BBC kuwa aliyejitoa muhanga alisubiri mpaka basi hilo linalobeba Watu 18 kujaa kabla ya yeye kuingia kwenye basi hilo.
Shuhuda huyo amesema basi liliharibiwa vibaya na moto na mengine ya jirani kuharibiwa.
Siku ya jumapili, mji huo ulishambuliwa na Msichana mmoja aliyejitoa muhanga
CHANZO BBC.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni