Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumanne, 10 Februari 2015

KAYLA MUELLER ALIUAWA NA IS;MAREKANI


Kayla Mueller wa Shirika la Misaada raia wa Marekani aliyeuawa na IS 
Marekani imethibitisha kuuawa kwa Kayla Mueller mfanyakazi wa mashirika ya misaada aliyekuwa akishikiliwa na wapiganaji wa Islamic State IS.
Familia yake imeelezea kusikitishwa kwake na kifo cha Kayla Mueller na wazazi hao kwa uchungu wameonyesha barua aliyowaandikia enzi za uhai wake mara baada ya kuwekwa kuzuizini na IS. Katika salam zake za rambi rambi Rais Barack Obama amesema msichana huyo amewakilisha vyema taifa lake la Marekani. Kumekuwa na taarifa mbili tofauti kutokana na kifo hicho kwani wakati Marekani inasema bila shaka aliuawa, IS wanasema kuwa Kayla Mueller aliuaawa katika mashambulizi ya anga huko Jordan,Jordan imekanusha madai hayo.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni