Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Alhamisi, 12 Februari 2015

WAPINZANI DRC WAPOKEA TAR YA UCHAGUZI.


Rais Joseph Kabila wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo 
Upinzani nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo umepokea kwa furaha hatua ya tume ya uchaguzi ya nchi hiyo kutangaza tarehe ya uchaguzi.
Hapo jana Tume ya Uchaguzi nchini humo ilitangaza uchaguzi mkuu wa rais na wabunge utafanyika Novemba 27 mwaka 2016 na kutanguliwa na uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu.
Kutangazwa kwa tarehe hiyo ya uchaguzi mkuu kunakuja wiki chache baada ya ghasia zilizotokea katika miji kadhaa nchini humo kupinga sheria ya uchuguzi mbayo ingesogeza mbele tarehe uchaguzi.
Upinzani na wanaharakati walipinga sherika hiyo kwa madai ilikuwa ni njama za Rais Joseph kabila kuchelewesha uchaguzi huo ili aendelee kutawala.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni