Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumanne, 10 Februari 2015

KIONGOZI WA AL SHABAB AUAWA SOMALIA.

Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani Admiral John Kirby 
Wizara ya ulinzi ya Marekani Pentagon imesema kuwa imethibitisha kuwa shambulio la ndege la wiki iliyopita nchini Somalia dhidi ya magaidi wa Al Shabab lilimuua kiongozi mwandamizi wa wapiganaji hao.
Msemaji wa wizara ya ulinzi ya Marekani Admiral John Kirby amemtaja aliyeuawa ni Yusuf Dheeq aambaye alikuwa mkuu wa idara ya upelelezi ndani ya kundi hilo.
Kirby pia amesema hakuna raia yeyote aliyejeruhiwa ama kuuawa katika shambulio hiolo la anga lililofanywa na Marekani dhidi ya Al shabaab kusini mwa mji mkuu wa Somalia Mogadishu.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni