Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumanne, 17 Februari 2015

INDIA;UHURU WA DINI KUHESHIMIWA

 
 Waandamanaji wakikemea vitendo vya mashambulizi dhidi ya Makanisa
Waziri Mkuu wa India,Narendra Modi ameahidi kulinda uhuru wa imani ya dini na kusema kuwa Serikali yake haitaruhusu kundi lolote la kidini kuwa na chuki dhidi ya jingine.
Akihutubia jamii ya kikristo mjini Delhi, ametoa wito kwa makundi yote ya kidini kuheshimiana.
Wito huo umekuja baada ya mfululizo wa matukio ya mashambulizi dhidi ya Makanisa, matukio yaliyosababisha ghadhabu miongoni mwa jamii ya Kikristo.
CHANZO BBC.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni