Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache
Jumanne, 24 Februari 2015
ALIYEWALAWITI WATOTO KENYA KUHUKUMIWA
Raia wa Uingereza aliyewadhalilisha kingono
watoto wa kiume katika mji mdogo wa Gilgil nchini Kenya anatarajiwa
kuhukumiwa leo nchini Uingereza.
Hii ni baada ya Mahakama
ya Birmingham kumkuta na hatia ya kuwadhalilisha watoto wa kiume kingono
na pia kupatikana na picha za utupu za watoto.
Simon Harris
mwenye umri wa miaka 55 ambaye alikuwa akiendesha Mradi wa misaada kwa
Jamii anaaminika kufanya maovu hayo kwa karibu miaka ishirini.
Gladys Njoroge amekutana na baadhi ya waathirika ambao waliomba majina yao yahifadhiwe.
CHANZO BBC.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni