Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumamosi, 7 Februari 2015

BABBY BROWN ASEMA MWANAE YU HAI




 
mwanamuziki nyota Marehemu Whitney Houston na Mwanawe Bobby kristina

mwanamuziki nyota Marehemu Whitney Houston na Mwanawe Bobby kristina 
Imeripotiwa kuwa mashine inayomsaidia kupumua mtoto wa Whitney Houston Bobby Kristina imezimwa,hataihvyo madai hayo yamekanwa na familia yake.

Bobby Kristina amekuwa katika koma ya kimatibabu tangu apatikane nyumbani kwake akiwa uso wake upo ndani ya maji nkatika beseni la kuogea na asiye na fahamu.
Babaake Bobby Brown anadaiwa kuwa katika hospitali hiyo ya Emory University ambapo mwanawe anapata matibabu pamoja na watu wa karibu wa familia.
Imeripotiwa katika Gazeti la Mail online kwamba mashine inayomsaidia kupumua ilizimwa katika chumba cha wagonjwa mahututi ,lakini familia yake imekana hilo na kusema bado msichana huyo yuko hai.
Bobby brown amesema kuwa anamuombea mwanawe na alipoulizwa alikuwa anaendeleaje, alijibu kusema kwamba yuko vyema.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni