Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatano, 4 Februari 2015

HERRY REDKNAPP AJIUZULU.


Harry Redknapp
Harry Redknapp amejiuzulu kazi ya kuifundisha timu ya Queens Park Rangers ya ligi kuu ya England,EPL.
Redknapp alimpigia simu mmiliki wa timu hiyo Tony Fernandes, siku ya Jumanne akimweleza kujiuzulu kazi hiyo ya ukocha kutokana na sababu za kiafya.
Saa chache baada ya muda uliowekwa kumalizika, Redknapp alikuwa akimwaambia mtu ambaye alijenga imani kwake kama wiki mbili zilizopita kuwa kazi hiyo sasa basi.
Kocha huyo mwenye umri wa miaka 67-alielezea matatizo yake ya kiafya kutokana na goti alilofanyiwa upasuaji kama sababu ya kuondoka kwake katika kazi hiyo lakini alionekana kuwa na thamani ndogo kwa kushindwa kuikwamua timu kutoka nafasi ya 19 iliyopo katika msimamo wa timu 20 za ligi kuu ya England.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni