Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache
Jumatatu, 2 Februari 2015
BUNGE 'LAKOMALIA' WABADHIRIFU SERIKALINI.
Bunge limechachamaa na kutaka serikali ianze kuchukua hatua kali za
kisheria ikiwa ni pamoja na kuwakamata, kuwashtaki na kuwafilisi wale
wote wanaohusika katika ubadhirifu na upotevu wa fedha za serikali
kutokana na kukosa uzalendo na uwajibikaji
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni