Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatatu, 2 Februari 2015

BUNGE 'LAKOMALIA' WABADHIRIFU SERIKALINI.



Bunge limechachamaa na kutaka serikali ianze kuchukua hatua kali za kisheria ikiwa ni pamoja na kuwakamata, kuwashtaki na kuwafilisi wale wote wanaohusika katika ubadhirifu na upotevu wa fedha za serikali kutokana na kukosa uzalendo na uwajibikaji

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni