Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatatu, 2 Februari 2015

FIFA YAMCHUNGUZA DIAFRA SAKHO


Diafra Sakho wa West Ham na Senegal
Mchezaji Diafra Sakho na kilabu ya West Ham zinakabiliwa na uchunguzi kutoka shirikisho la soka duniani FIFA kufuatia hatua ya mchezaji huyo kujiondoa katika kikosi cha Senegal katika michuano ya kombe la mataifa ya Afrika.
FIFA inasema kuwa imefungua uchunguzi wa kinidhamu kwa kukiukwa kwa sheria.
Sakho 25,alijiondoa akiwa na jeraha la mgongo ,lakini baadaye akaifungia bao West Ham katika mechi yake ya FA dhidi ya Bristol City.
Sheria za FIFA zinasema kuwa mchezaji hawezi kuichezea kilabu yake iwapo anatakikana kuichezea timu yake ya taifa,lakini West Ham imekana kufanya makosa yoyote.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni