Straus Kahn na mkewe akitoka mahakamani
Aliyekuwa mkuu wa shirika la fedha duniani IMF,Dominique Strauss Kahn ameshtakiwa nchini Ufaransa na mashtaka ya usaidizi wa kuwanunua wanawake ili kushiriki katika sherehe za ngono.
Straus Kahn na mwanamke mwandishi aliyedai Kahn alitaka kumbaka.
Ameshtakiwa kwa kuwa katikati ya mtandao wa ukahaba mjini Paris,Brussels na Washington.
Bwana Straus-Kahn amekana kujua kwamba wanawake katika sherehe hiyo walilipwa.
CHANZO BBC.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni