Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatatu, 2 Februari 2015

WEZI WAVAMIA NYUMBA YA DI MARIA


Mchezaji wa Manchester United Ange di Maria ambaye aliepuka jaribio la wizi nyumbani kwake.
Kiungo wa kati wa Manchester United Angel Di Maria ndio mwathiriwa wa hivi karibuni wa wizi wa kutumia mabavu nyumbani kwake huko Cheshire Uingereza, BBC imegundua.
Baadhi ya wahalifu walijaribu kuvunja mlango wa nyumba yake katika barabara ya Chelford huko Prestbury siku ya jumamosi jioni ,maafisa wa polisi wa Cheshire wamesema.
Hatahivyo mbiu ya mgambo ilipigwa kabla ya wezi hao kuingia ndani ya jumba hilo na kulazimika kutoroka.
Tukio hilo lilitokea baada ya Manchester United kuicharaza Leicester City mabao 3-1 katika uwanja wa Old Trafford.
CHANZO BBC


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni