![](https://scontent-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/s480x480/22405_1180553655292384_3756657623682926593_n.jpg?oh=e62050b915cb2be9559f13950aaee421&oe=55B5C331)
Mwanamuziki wa kizazi kipya, Suleimani Msindi ‘Afande sele’, ametangaza nia ya kuwania ubunge wa Morogoro mjini kupitia Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania). Msanii huyo ametangaza azma yake baada ya kujiunga na chama hicho akitokea Chama cha Chadema.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni