Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Alhamisi, 19 Machi 2015

TUNISIA YATANGAZA VITA DHIDI YA UGAIDI.

Rais Caib Essebsi wa Tunisia 
Rais wa Tunisia, Beji Caib Essebsi, amesema nchi yake imo vitani na ugaidi baada ya wanaume waliojihami kwa bunduki kuwaua watalii wa kigeni wapatao 17 na raia wawili katika shambulio katika makavazi mjini Tunis.
Kiongozi huyo amesema nchi yake itakabiliana pasi kuyasamehe na alichokitaja kama makundi madogo ya kishetani.
Washambuliaji hao waliwapiga risasi wageni kutoka Japan, Colombia, Australia, Italia na Uhispania kabla ya kuuawa na maafisa wa usalama.
Rais Beji Caid Essebsi amesema Tunisia ililazimika kupambana na magaidi waliokuwa wanahatarisha usalama wa nchi.
CHANZO BBC.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni