Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumanne, 24 Machi 2015

MTOTO ALIE NUSURIKA KATIKA AJALI AENDELEA VIZURI.


Hali ya mtoto Jacqueline Lepenza aliyenusurika katika ajali mbaya ya Basi la Majinja kugongana na Lori na kudondokewa na kontena inaendelea vizuri na hapa yupo katika picha na baba yake. Unaambiwa mtoto huyo alikuwa anatokea Njombe kwao na mama yake alipokuwa ameenda kwaajili ya kufanyiwa ubatizo wake. Mama yake alifariki siku hiyo katika ajali hiyo iliyoua watu zaidi ya 50.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni