Upandikishaji wa uume wafanikiwa Afrika kusini
Kundi la madaktari wa upasuaji kutoka Afrika kusini limefanikiwa upandikizaji wa uume wa mwanadamu.
Oparesheni
hiyo iliochukua masaa manane ilifanywa mnamo mwezi Disemba katika
hospitali ya Tygerberg mjini Cape Town kupitia ushirikiano wa chuo kikuu
cha Stellenbosch.Inadaiwa kuwa jaribio la pili la upasuaji huo kufanywa.
Madaktari wanasema kuwa mgonjwa aliyefanyiwa upandikishaji huo amepona.
Uume wake ulikatwa baada ya matatizo yaliosababishwa na kupashwa tohara.
CHANZO BBC.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni