Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumanne, 24 Machi 2015

UPANDIKIZAJI WA UUME WAFAULUA.KUSINI.

 
Upandikishaji wa uume wafanikiwa Afrika kusini 
Kundi la madaktari wa upasuaji kutoka Afrika kusini limefanikiwa upandikizaji wa uume wa mwanadamu.
Oparesheni hiyo iliochukua masaa manane ilifanywa mnamo mwezi Disemba katika hospitali ya Tygerberg mjini Cape Town kupitia ushirikiano wa chuo kikuu cha Stellenbosch.
Inadaiwa kuwa jaribio la pili la upasuaji huo kufanywa.
Madaktari wanasema kuwa mgonjwa aliyefanyiwa upandikishaji huo amepona.
Uume wake ulikatwa baada ya matatizo yaliosababishwa na kupashwa tohara.
CHANZO BBC.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni