Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatano, 25 Machi 2015

RAIS WA YEMEN AITAKA UN KUINGILIA KATI.

Rais wa Yemen Abd Rabbuh Mansour Hadi 
Rais wa Yemen aliyeko matatani, Abd Rabbuh Mansour Hadi, ameliomba baraza la usalama la umoja wa mataifa kuidhinisha hatua za kijeshi dhidi ya kundi la waasi la waislamu washia- Houthi, lililomlazimu kuutoroka mji mkuu wa taifa hilo Sanaa.
Bwana Hadi tayari ameliomba baraza la mataifa ya muungano wa kiarabu kumsaidia kijeshi.
Anajaribu kuunda makao mapya ya utawala katika mji wa bandari wa Aden Kusini mwa Yemen, lakini wanamgambo wa Houthi wameukaribia mji mkuu- Sanaa.
CHANZO BBC.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni