Helikopita ya umoja wa mataifa imeanguka Kaskazini mwa Mali na kuua watu wawili raia ambao ni wafanyakazi wa ndege hiyo.
Ndege
hiyo ni mali ya vikosi vya walinda amani nchini Mali MINUSMA.Hata hivyo
inadaiwa kuwa UN ina askari wapatao 11,000 kutoka mataifa mbalimbali.Hata hivyo kwa mjibu wa shirka hilo la umoja wa mataifa UN,hatua hiyo dhidi ya wapiganaji hao nchini Mali.Awali mwezi huu roketi za vikosi vya umona wa mataifa.
CHANZO BBC.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni