Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumanne, 24 Machi 2015

Vurugu zaibuka jijini Mwanza


Polisi jijini Mwanza wanatumia mabomu ya machozi kuwatawanya waombolezaji waliojikusanya mjini misungwi kupinga kitendo cha Polisi kumpiga kijana Magata Salum aliyekufa leo.
Wananchi hao wamejikusanya kupinga mwili wa kijana huyo Magata Salum kupelekwa kituo cha polisi wala kushughulikiwa na polisi kwa madai kuwa amekufa kwa kupigwa na polisi.
CHANZO EA TV

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni