Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumanne, 17 Machi 2015

MWANASHERIA WA DAKTARI WA OSAMA AUAWA

 
Samiullah Afridi,aliye uawa na Talbani 
Aliyewahi kuwa mwanasheria wa Daktari wa Osama bin Laden, Samiullah Afridi ameuawa kwa kupigwa risasi huko Pakistan.
Mtu aliyekuwa na silaha alimmshambulia Samiullah Afridi ambaye alikuwa ndani ya gari lake akiendesha eneo la Peshawar.
Samiullah Afridi alikuwa mmoja wa wanasheria wa Dr.Shakeel Afridi ambaye ndiye aliyefichua siri kwa Marekani juu ya wapi alikokuwa Ossama Bin Laden ambaye alikuwa mafichoni huko Pakistani kwa takribani miaka minne.
Dr Afridi wakati anauawa alikuwa katima matembezi alifungwa kifungo cha muda mrefu.Kundi la Talbani limekiri kutekeleza mauaji hayo.
CHANZO BBC.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni