Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumamosi, 21 Machi 2015

MAITI 70 ZAPATIKANA ZIMETUPWA NIGERIA.

Wanajeshi wa Nigeria
Takriban maiti 70 zimepatikana zimetupwa nje ya mji wa Damasak kaskazini mashariki mwa Nigeria baada ya mji huo kutwaliwa kutoka kwa kundi la Boko Haram.
Watu hao wanaonekana kuuawa siku kadha zilizopita ambapo baadhi ya maiti zilikuwa zimekatwa shingo.
Mji wa Damasak ulio karibu na mpaka na Niger ulidhibitiwa na wanamgambo wa Boko Haram mwezi Novemba mwaka uliopita lakini ukatwaliwa na wanajeshi kutoka nchini Niger na Chad siku ya Jumamosi.
Boko Haram wamewaua maelfu ya watu kwenye kampeni yake ya kutaka kubuni taifa la kiislamu kaskazini mwa Nigeria.
CHANZO  BBC.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni